MAPISHI - Biskuti za kastad

ss


 
VIPIMO

 Unga                                                         3 Vikombe
Sukari ya unga (icing sugar)                   1 Kikombe
Siagi                                                         250 gm
Mayai                                                       3

Vanilla                                                      2 Vijiko vya chai
Baking powder                                        1 Kijiko cha chai

 NAMNA YA KUTAYARISHA NA KUPIKA
1.  Koroga siagi na sukari katika mashine ya keki (cake mixer) mpaka iwe

     laini (creamy).
2.  Tia mayai na vanilla koroga mpaka mchanganyiko uwe laini.
3.  Tia unga na baking powder changanya na mwiko.
4.  Tengeneza round upange kwenye tray utie nukta ya rangi.
5.  Nyunyuzia sukari juu ya hizo round ulizotengeneza kabla huja choma.
6.  Pika (bake) katika oven moto wa 350°F kama muda wa dakika 15 hivi huku unazitazama tazama.









MAPISHI :  Je unapenda kupika lakini hujui? kama jibu ndio basi karibu sana katika page hii ya mapishi ambayo utapata machache ambayo yatakusaidia katika masuala mazima kuhusu kupika.

Powered by Pnyxe








Free Web Hosting